GoodNEWS: kwa mashabiki wa Barnaba hii isikupite (+Audio)

Kama utakuwa ni mpenzi wa kufuatilia stori za entertaiment basi hizi hapa zisikupite, millardayo.com imekurekodia stori  zote za April 27 2016  ambazo zimepata airtime kupitia 255 ya XXL na moja ya Stori ambayo imepata airtime ni hii ya Barnaba amefunguka ujio wa album yake mpya. 
Barnaba baada ya kuachia wimbo wake mpya April 26 2016 unaofahamika kwa jina la ‘Wanifaa’ haya ndio maneno ya Barnaba kuhusiana na album yake inayokuja…..>>> ‘kitu kizuri au kibaya ambacho watu hawakijui kupitia huu wimbo wangu ni kuwa ni wimbo ambao nimeurudia zaidi ya mara nne‘
‘Na huu wimbo wa ‘Wanifaa’ ndio wimbo ambao utabeba jina la album yangu mpya ambayo natarajia kuitoa tarehe 8/08, album ambayo natarajia kuiita jina la ‘Eight Eight’ ikiwa imebeba siku yangu ya kuzaliwa yaani tarehe nane ‘:-Barnaba ClassicScreenshot_2016-04-29-14-49-39-1
Stori zote zilizopata airtime unaweza kubonyeza Play hapa chini….

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.