RAY C: awaachisha Vijana madawa ya kulevya


Leo  26 June ni siku ya kuadhimisha madawa ya kulevya duniani, na leo 255 imepiga stori na Ray C ambaye ni mmoja wa walioarhirika na dawa hizo na ameweka wazi kuwa tayari amewasaidia vijana zaidi ya 70 kuachana na dawa za kulevya na wamesimama kwenye tiba na kufanya shughuli za kufanya.
Amesema hakuhitaji chochote kutoka kwao na amefanya hivyo kama asante yake kwa Rais Jakaya Kikwete ambaye ndiye aliyemsaidia kwa kiasi kikubwa kuendelea kutumia dawa za kulevya

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.