ALI KIBA ajitosa ndani ya Daladala Nakulipia Abiria Nauli...DAR


Ali Kiba 1Mwimbaji wa bongofleva Ali Kiba aliamua kufanya ziara ya ghafla na kuanza kupanda Mabasi (Daladala) za ndani ya Dar es salaam June 23 2015 ikiwa ni ziara ya kuwashukuru mashabiki kwa kumpa ushindi wa tuzo 6 za KTMA na moja ya Tuzo za Watu 2015.



CHECK VIDEO KUTOKA AYO TV...AKIWA NDANI YA DALADALA 
https://www.youtube.com/watch?v=UxhUNC1oknQ

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.