blogger-disqus-facebook
  • About
  • Contact Us
  • Home

kazikazi_newsupdates

Breaking News | International News | Political | Business | Sports | Games | Entertainments | Global Music | East Afrika | Bongo Flavour | Bongo Movie | Udaku wa Social Media

kazikazi_newsupdates
    • NEW VIDEO
    • KAZIKAZI TV
    • SAUTI ZA MITAANI
    Home / Unlabelled / Majizzo "Sio Davido Aliyembeba Diamond Platnumz Bali Davido Ndio Alibebwa, Wasanii Wawe Makini na Collabo za nje"

    Majizzo "Sio Davido Aliyembeba Diamond Platnumz Bali Davido Ndio Alibebwa, Wasanii Wawe Makini na Collabo za nje"

    Mwandishi Mchapa kazi Novemba 19, 2021 0
    Akiwa kwenye Empire ya EFM hii leo tarehe 18/11 mahususi kwaajili ya kuzindua Concert ya Komaa itayofanyika December 4 viwanja vya Tanganyika Peakers, Mkurugenzi wa Efm na TV E, @majizzo ameongelea pia suala la namna Djs na baadhi ya watu wanaotumikia hii sanaa kuua muziki wa Bongo Flava.

    Hii inakuwa ni muendelezo wa kile kinacho onekana wasanii wa ndani kutopewa kipaumbele kwenye show zinazoandaliwa na promoters wa Bongo kama inavyo fanywa na wasanii tokea nje.

    Pia akitaka watu wajitafakari na neno KIMATAIFA akitolea mfano wa collabo ya @davido na @diamondplatnumz ,My Number One, ambapo amesema kuna mitazamo hasi kuwa Davido ndiye alimbeba Diamond kwenye collabo hiyo, lakini haiangaliwi kuwa Diamond ndiye aliyembeba Davido. Akiuliza ni Show ngapi Davido amefanya Tanzania baada ya Collabo na Diamond,then jiulize ni Show Ngapi Diamond amefanya nchini Nigeria baada ya collabo na Davido.

    Ifike hatua wasanii wajue hizi wanazoita international Collabo ndizo zinapelekea hadi pesa zao kubebwa na hao washirikishwaji,hivyo zinapaswa kuwa na faida pande zote mbili.

    Pia ametolea mfano wa collabo ya @marioo na Shomadjoz, Mama Amina ni wimbo mkali aliopewa shavu jozyy, Marioo akijichanga hadi kushoot video SA, ila hadi wimbo unapoa, simu za Show haziiti kivile kwa Marioo, Shomadjoz kaja baada ya hiyo Collabo kala show kibao na kuondoka na mkwanja wa kitanzania ambao si chini ya 40M+.

    Internationally💔
    Tags:

    Hakuna maoni

    Jisajili kwenye: Chapisha Maoni ( Atom )

    Kazikazi Digital

    Kazikazi Digital
    Let Us Host your Business and Bost it to the Higher Level

    kazikaziTv

    kazikaziTv
    News Updates in Politics, Sports, Entertainment, Education
  • Recent

    3/recent-posts

    Comments

    3/recent-comments

    Facebook

    SAUTI ZA MITAANI SHOWS

    TRENDING MUSIC VIDEO

    Kumbukumbu la Blogu

    • ►  2024 (6)
      • ►  Desemba (1)
      • ►  Oktoba (1)
      • ►  Januari (4)
    • ►  2023 (25)
      • ►  Desemba (1)
      • ►  Novemba (1)
      • ►  Septemba (1)
      • ►  Agosti (2)
      • ►  Mei (2)
      • ►  Aprili (5)
      • ►  Machi (4)
      • ►  Januari (9)
    • ►  2022 (242)
      • ►  Desemba (3)
      • ►  Agosti (4)
      • ►  Julai (4)
      • ►  Juni (15)
      • ►  Mei (37)
      • ►  Aprili (13)
      • ►  Machi (31)
      • ►  Februari (53)
      • ►  Januari (82)
    • ▼  2021 (296)
      • ►  Desemba (22)
      • ▼  Novemba (79)
        • Treni ya Umeme Kutumia Umeme Wake sio Unaokatika
        • Jeshi la Uganda lafanya mashambulio ya anga dhidi ...
        • KASSIM MAJAALIWA - Acheni Kutorosha Madini Nje Ya ...
        • Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Novemba 30
        • VIDEO KUBWA INAYOSUMBUA MITANDAO YA KIJAMII, ALIYO...
        • "Mume Wangu Kuwa Chawa sio Tatizo ili Mradi Alete ...
        • Kinachosubiriwa Kesi ya Kina Mbowe leo
        • HABARI ZA MAGAZETINI LEO NOVEMBER.29.2021
        • Rais Samia Ateua Viongozi Mbalimbali
        • Coco Beach ya boreshwa, Eneo la mihogo ya kukaanga...
        • SEREKALI YATOA TAMKO JINSI YA KUJIKINGA WIMBI LA 4...
        • Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Novemba 28
        • Makonda aburuzwa mahakamani, kesi Desemba 3
        • Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Novemba 27
        • Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Novemba 26
        • RPC Wankyo- Silaha 24 Zasalimishwa Pwani, Watu 21 ...
        • Uwekezaji Kwenye Dagaa Ni Muhimu Kiafya Na Kiuchumi
        • Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Novemba 25
        • Mrembo Aliyejioa Sasa Ajipa Talaka Baada ya Kupata...
        • Serikali Yapokea Dozi 499,590 Za Pfizer
        • Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Novemba 24
        • Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Novemba 23
        • Rais Samia atunuku Nishani na Shahada kwa Wahitimu...
        • Marefa Sasa Watafukuza Watazamaji Ligi Kuu Bara
        • M Dog Afunguka "Tumpongeze Diamond Platnumz ila An...
        • KIKAO CHA TACOSA, UMOJA WA WATANZANIA WANAOISHI AF...
        • HABARI MAGAZETINI LEO, 20 NOVEMBER 2021
        • Majizzo "Sio Davido Aliyembeba Diamond Platnumz Ba...
        • BREAKING NEWS: MOTO MKUBWA WAUNGUZA HOTEL ZA KIFAH...
        • HABARI MAGAZETINI LEO 18 NOVEMBER 2021
        • Rais Mwinyi atengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Taasis...
        • Balozi wa TZ Afrika Kusini na Mkurugenzi Rutageruk...
        • Rais Kenyatta Amfuta Kazi Mkuu wa Magereza Kenya B...
        • Rufaa ya Lengai Ole Sabaya na Wenzake Kutajwa Dise...
        • Tanzania Hutumia Nusu Trioni Kuagiza Mafuta Ya Kula
        • Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Novemba 16
        • Marioo Aungana na Eric Omondi "Awapa Makavu Wasani...
        • Mpya Kabisa..Aliyekua Mpenzi wa JUX.. Jackline Cli...
        • Lukuvi "Marufuku Madalali Kuchukua Kodi ya Mwezi M...
        • Mahakama yatupa pingamizi kesi ya Freeman Mbowe na...
        • HABARI ZA MAGAZETINI LEO TAREHE 16 NOVEMBA 2021
        • HABARI ZA MAGAZETINI LEO TAREHE 15 NOVEMBER 2021
        • HABARI ZA KWENYE MAGAZETINI LEO 13 NOVEMBER 2021
        • Mbunge Aangua Kilio Bungeni
        • Kesi ya Mbowe: Shahidi Akutwa na Simu & ‘Diary’ Ki...
        • Rais wa Shirikisho la Soka Kenya Nick Mwendwa Akam...
        • Mahakama Yawaachia Huru aliyekuwa mhasibu wa Taasi...
        • Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Novemba 12
        • Mwanafunzi Aliwa na Mamba Akiogelea
        • Watanzania 725 Wafariki kwa Corona
        • Waliofukuzwa CUF sasa kushitaki kwa Msajili
        • Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Novemba 11
        • Bei Kubwa Vifurushi vya Data Tanzania Mwiba wa Mae...
        • HABARI ZA MAGAZETINI LEO TAREHE 10 NOVEMBA 2021
        • Kesi ya mtoto aliyefanya mtihani wa la 7 gerezani ...
        • HABARI ZA MAGAZETINI LEO, TAREHE 9 JUMANNE
        • TMA yatabiri ongezeko la joto kali nchini
        • MKUTANO MKUBWA WA KUFUNGA MWAKA UMOJA YA WATANZANI...
        • Jenipha Kanumba "Bikira Yangu Nimekutunzia Patrick...
        • Mange Kimambi Amlipua Paula "Paula Hasomi Turkey M...
        • Ukame na Njaa Tatizo Tena Kaskazini Mwa Kenya
        • Wabongo Hawana Dogo, Wamiminika Kwenye Page ya Koc...
        • HABARI ZA KWENYE MAGAZETINI, LEO JUMATATU NOVEMBER 8
        • HABARI MAGAZETINI LEO NOVEMBER 6
        • Ruby "Kusah Akiweka Mazingira Sawa Tutalea Wote Mt...
        • Watumishi waliogushi vyeti wapigwa ‘stop’
        • Bila Kujitoa Kwa Jasho na Damu Mtu Wangu Huwezi Ku...
        • Kenya yatangaza kupiga mnada ndege 73 za mataifa h...
        • Ndugai: Watanzania Wanalalamikia Mfumo wa Elimu
        • Askari wa Msumbiji washutumiwa kuwanyanyasa raia
        • Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Novemba 4
        • Mwanasheria wa Tigo atoa ushahidi kesi ya Freeman ...
        • HABARI ZA MAGAZETINI LEO 03 NOVEMBER 2021
        • RAIS MWINYI AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI HOTELI YA ...
        • vitu ambavyo vinaweza kukufanya kuonekana mzee kul...
        • Shahidi aeleza kutowatambua watu kwenye CCTV kamer...
        • Amos Makala Atoa Ripoti "Wamachinga Dar Wamepanga ...
        • Huyo Ndio Mrithi wa Maalim Seif ACT WAZALENDO
        • Watu 690 wauawa Simiyu
      • ►  Oktoba (66)
      • ►  Septemba (129)
    • ►  2016 (187)
      • ►  Septemba (1)
      • ►  Juni (1)
      • ►  Mei (109)
      • ►  Aprili (57)
      • ►  Machi (19)
    • ►  2015 (738)
      • ►  Novemba (40)
      • ►  Oktoba (16)
      • ►  Septemba (6)
      • ►  Agosti (305)
      • ►  Julai (323)
      • ►  Juni (48)

    Videography and Photography

    Videography and Photography

    Wikipedia

    Matokeo ya utafutaji

    Created By SoraTemplates | Distributed By Gooyaabi Templates
    Inaendeshwa na Blogger.