BREAKING NEWS: Watanzania Nchini Afrika ya kusini DURBAN wapata msiba

Kiongozi wa watanzania jijini DURBAN, Tawi la DURBAN, Amefariki dunia Jana 21/1/2022, Taarifa zimetufikia Jana jioni hii.. 

Kiongozi huyo alifahamika kwa jina BONTA .. Tutaendelea na kuwa juza taratibu za mazishi.

"Mungu ametoa na Mungu ametwaa"
"Innallillah wainnallillah Rajun"..

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.