Picha ya kwanza inaonesha dada mmoja anaitwa Dooren Kabareebe kutoka Uganda katika kipindi cha redio akiojiwa na kutanganza vigezo vyake marufuku mwanaume yoyote asiye na gari kumpigia simu,yeye wanaume wake ni wenye magari tu.

Picha ya pili.

Baada ya kumaliza kipindi redioni akanaswa na kamera za shilawadu akipanda bodaboda anarudi nyumbani kwake.

Ugandan socialite, Doreen Kabareebe has been mocked online for boarding an okada after an interview where she said she can't date a man who doesn't have a car. The former Miss Uganda contestant who is also known for sharing raunchy photos on social media, had told prospective lovers not to approach her if they don't have a car. 

Doreen said in the interview; 

If you don’t have a car, don’t call my number

However she was spotted supposedly after the interview, wearing same gown, same hairstyle same wristwatch and sitting on a commercial motorcycle.