Rais Magufuli Tena..Afuta Majina ya Maafisa wa Serekali 50 Waliokuwa Wasafiri Kwenda Mkutano wa Jumuiya ya Madola..


Rais John P. Magufuli amefuta majina ya maafisa wa Serikali 50 na kubakiza 4 tu waliotakiwa
kwenda kwenye mkutano wa Jumuiya ya Madola
Hatua yake hiyo imeokoa takribani milioni 700 ambazo zingetumika kwenye malipo ya posho na tiketi za ndege

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.