Dr. Magufuli na Ununuzi wa Vitanda Hospitali kuu ya Taifa Muhimbili, Je Procedures zote za Manunuzi ya Umma zilifuatwa ?


Hebu tafakari kuhusu vitanda vya Muhimbili Magufuli alitoa kauli hiyo ijumaa jioni na jumamosi mchana vitanda vikawa tayari vimewasili Muhimbili.

Je pesa jizo alikabidhiwa mkurugenzi saa ngapi na kuanza process ya kuzitoa bank saa ngapi na afisa manunuzi wa Muhimbili alitafuta QUOTATIONS tatu saa ngapi na bodi yao ya manunuzi walikaa kikao saa ngapi ili kupitisha quotation moja ambayo itatumika ktk manunuzi hayo?

Je huyo supplier wa hizo vitanda alikuwa na stock kubwa kiasi hicho ambapo Muhimbili walipofika wakapewa chapuchapu?na ninavyojua manunuzi yanayozidi 10M huwezi kufanya kwa CHEQUE ni lazima ufanye kwa TISS sasa na mizunguko yote hiyo na juzi ilikuwa ni siku yamapumziko je procedures zote za manunuzi ya UMMA zilifuatwa ?



Source: By Makombeni10/Jamii Forums

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.