BALOZI WA TANZANIA NCHINI MALAWI MH.HUMPHREY POLEPOLE AHAMISHWA KIKAZI,
Hii ndio Taarifa mpya ya Sasa kutoka Nchini Malawi , Kwamba Wafanya biashara wa Kitanzania pamoja na wafanyakazi wa Kitanzania wa Taasisi na mashirika ya kimataifa walioko Malawi , jioni hii wanafanya hafla ya siri ya kusherehekea kuondolewa kwa Humphrey Polepole kwenye Ubalozi wa Tanzania nchini humo.
Habari zaidi kutoka Malawi zinadokeza kwamba Tangu kuteuliwa kwa Humphrey Polepole kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi uhusiano kati ya watanzania wanaoishi nchi hiyo na Ubalozi wao ulizorota ama waweza kusema ulikufa kabisa , hii ilitokana na Watanzania wa huko kukataa kuwa na balozi aina ya Polepole katika nchi ya Kidemokrasia ya Malawi .
Humphrey Polepole ambaye alikuwa Katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM , alishirikiana na John Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM , pamoja na Katibu wao Bashiru Ally kuhujumu demokrasia nchini Tanzania , watu hawa walitumia hela za umma kununua Wapinzani na kuiba kila Uchaguzi uliokuja mbele yao kwa kumshirikisha mshirika wao mkuu Dr Wilson Mahera aliyekuwa Tume ya Uchaguzi (Hakuna Mtanzania asiyelijua jambo hili)
Kwa kufupisha , Uteuzi wa Polepole kuwa Balozi nchini Malawi kuliwafedhehesha sana Watanzania wa Malawi jambo lililopelekea kuvunja uhusiano na Ubalozi huo na kuzorotesha shughuli nyingi .
Tunaamini sasa baada ya mamluki huyu kuondolewa mambo yatarudi kama awali
Kwa mara ya kwanza napenda kuishukuru Serikali ya Tanzania kwa kuyafanyia kazi malalamiko ya Watanzania walioko Malawi na kuchukua hatua .
Habari zaidi kutoka Malawi zinadokeza kwamba Tangu kuteuliwa kwa Humphrey Polepole kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi uhusiano kati ya watanzania wanaoishi nchi hiyo na Ubalozi wao ulizorota ama waweza kusema ulikufa kabisa , hii ilitokana na Watanzania wa huko kukataa kuwa na balozi aina ya Polepole katika nchi ya Kidemokrasia ya Malawi .
Humphrey Polepole ambaye alikuwa Katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM , alishirikiana na John Magufuli aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM , pamoja na Katibu wao Bashiru Ally kuhujumu demokrasia nchini Tanzania , watu hawa walitumia hela za umma kununua Wapinzani na kuiba kila Uchaguzi uliokuja mbele yao kwa kumshirikisha mshirika wao mkuu Dr Wilson Mahera aliyekuwa Tume ya Uchaguzi (Hakuna Mtanzania asiyelijua jambo hili)
Kwa kufupisha , Uteuzi wa Polepole kuwa Balozi nchini Malawi kuliwafedhehesha sana Watanzania wa Malawi jambo lililopelekea kuvunja uhusiano na Ubalozi huo na kuzorotesha shughuli nyingi .
Tunaamini sasa baada ya mamluki huyu kuondolewa mambo yatarudi kama awali
Kwa mara ya kwanza napenda kuishukuru Serikali ya Tanzania kwa kuyafanyia kazi malalamiko ya Watanzania walioko Malawi na kuchukua hatua .
Hakuna maoni